MASTER JAY APIGIWA SIMU NA AT ,APIGWA SWALI GUMU WEWE SIYO PRODUCER ALIKIBA ANABANA PUA ? DIAMONDI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 апр 2025

Комментарии • 251

  • @Jumbe-k
    @Jumbe-k Месяц назад +22

    Kaka wewe ni atari sana watoto wa 2000 hawakujui achia ngoma kaka hiyo alone ni fire 🔥

  • @BinKhatib-o8i
    @BinKhatib-o8i Месяц назад +13

    Ukijua kupiga ujue kujikinga.
    Mwl mzuri anafundisha anashauri ,tuwatie moyo wenye uthubutu ,sio kubeza na kutusi. Uzalendo upo wapi.Big up Tz musicians

  • @JohnMtatiro-kx4jw
    @JohnMtatiro-kx4jw Месяц назад +21

    Safi sana A.T unaongea kikubwa na sio ushabiki master j kashindwa kutunza heshima yake

  • @BENEDICTMHINA-pd1kr
    @BENEDICTMHINA-pd1kr 25 дней назад +1

    Wasio jua Music wataku suport ila sisi Kizazi cha 80 hatukuelewi unazunguumzia nini kuhusu music

  • @zaidihussein4311
    @zaidihussein4311 Месяц назад +12

    A T ww mziki unajuwa sana uyo bwege mastar upinde bwege tu

  • @kelvinstephano8089
    @kelvinstephano8089 Месяц назад +9

    Hahaahahahahahahah jaman AT kaka upo vzr nmekuelewa sana kwenye hiii interview bigup sana

  • @phelixmaddox
    @phelixmaddox Месяц назад +6

    Uyu AT he always speaks sense. Very intelligent 👌. He's great and very smart

  • @Calycso
    @Calycso Месяц назад +1

    Been so heartbroken for long what happened to AT..I am so happy bado yupo halafu very smart upstairs.Kudos bro.Kenya says hi🇰🇪🇰🇪🇰🇪we salute you and this is now the high time Rudi kwa muziki mashabiki wako tunakuhitaji...Hey girl wanifananisha na nani wataka nikupe kila kitu changu....a very good melodious song.
    Mahadha umesema sio ama wewe Mwalimu kweli...Kudos bro..

  • @Jumbe-k
    @Jumbe-k Месяц назад +9

    Hiyo ngoma kali sana AT iyachie kaka

  • @karimhamdani793
    @karimhamdani793 Месяц назад +12

    Huyu jamaa nilikua namchukuliaga kama boya tu flani tu hivi kumbe kichwa imesheheni madini hatari nisamehe kaka kuanzia leo ninakuheshim.pongezi pia kwa keundelea kusoma.education is endless process

  • @Edward_Simon6
    @Edward_Simon6 Месяц назад +3

    Master jay hajui kitu me naomba nitajiwe hit moja aliyo fanya master au aliyo husika kivyovyote vile iliyisha africa au dunian kama alivyotaka

  • @AgripaMwangobola-d45
    @AgripaMwangobola-d45 Месяц назад +10

    Umeongea point sanaaa kaka A.T

  • @Jibambeshow254k
    @Jibambeshow254k Месяц назад +7

    SHOGA MUSTAR J AMEYAKANYANGA 😂😂😂UNAANZAJE KUONGELEA MUFALME W DUNIA WEWE ,ALAFU MM MUSTER J SIJAWAHII KUMKUBALI ,AM KENYAN N SIJAPENDA KAULI Y MUSTER J

  • @philipogabriel6056
    @philipogabriel6056 Месяц назад +13

    Napenda sana mtu anapoongea kitu anachokijua aisee uko vzr kaka

  • @Dj2nyi
    @Dj2nyi Месяц назад +8

    Hii marks media inakuja na habari 🔥🔥🔥 sana nowdays

  • @GSengo
    @GSengo Месяц назад +5

    Daaaah umemtaja Umm Kulthum? Umegusa pazito sana AT.

  • @priscasaid4600
    @priscasaid4600 Месяц назад +3

    Huyu At Ananimalizia Bando Langu. Yaani Siwezi Pitwa Nikiona Akihojiwa🙌

  • @MsamyJunior
    @MsamyJunior Месяц назад +2

    Master J unahitajika hukuuuu,,na P funk Majan kakublock usije muulza aina ya mziki ulioimbwa na Dully Sykes pamoja na Kiba 🤣🤣🤣🫵🫵

  • @MagrethThobias-fm8bm
    @MagrethThobias-fm8bm Месяц назад +8

    Umetisha kaka 😂😂😂😂 hata mimi nikitaka kulala lazima nisikilize nyimbo za Shania Twain ma celena Dion

  • @KadustaBoy
    @KadustaBoy Месяц назад +4

    Safi Sana umetisha sana

  • @godfreywilliam4470
    @godfreywilliam4470 Месяц назад +4

    Ivi master J, alisikiliza vizuri wimbo wa "utu na utulivu" labda atabadili maneno 😫

  • @mo_zillaa5428
    @mo_zillaa5428 29 дней назад

    Ninachokiona
    Kwanza AT anaujua sna mziki na ana madini sana ya kimziki
    Pili Anapenda waarabu na wasaudia kuliko wazungu,
    Mdisi master ila upeo na uelekeo wake upo wazi.
    Udini upo😎

  • @gideonlewa8057
    @gideonlewa8057 Месяц назад +7

    Bien mwenyewe anamkubali sana ali kiba sehemu kubwa sana

  • @sultansultans9462
    @sultansultans9462 Месяц назад +10

    Wahindi wa Dar wakisikia hivyo alivyo sema Master J watajisikia vibaya sana..

    • @zully756
      @zully756 Месяц назад

      Ni arrogant.

    • @JulistaHillary
      @JulistaHillary Месяц назад

      😅😅😅😅😅😅😅😅wahindi tena

    • @HuseniIdd
      @HuseniIdd Месяц назад

      😂😂😂wahindi​@@JulistaHillary

  • @asherymwakilasi9863
    @asherymwakilasi9863 Месяц назад +1

    Kua na adabu basi hata kama kuna kosa mkubwa kwako yule na kafanya mengi

  • @jamiljamal5067
    @jamiljamal5067 Месяц назад +4

    Masta j ni Kuma tuu kwa muziki Wa kizazi cha leo

  • @fulgencebeno2969
    @fulgencebeno2969 Месяц назад +4

    Huyu kenge kipindi chake hata Top ten ngoma 8 za majani moja ya mika mwamba, na moja walikua wanagombania yeye na bon Love au saidi comorien, master ni kenge tu

  • @HafidhAlly-m4k
    @HafidhAlly-m4k Месяц назад +1

    Msamehe inshaallah mollah akufanyie wepesi amin

  • @Erik-kj5no
    @Erik-kj5no Месяц назад +1

    Kwani AT Hilo nalo ni jambo la kulikomalia kiasi hicho challenge lazima ziwepo bwana acheni hizo

  • @IsmailFaraj
    @IsmailFaraj Месяц назад +1

    Big up.. Bro

  • @AllenMwashala
    @AllenMwashala Месяц назад +2

    AT umetisha bro.

  • @ruwafuraha
    @ruwafuraha Месяц назад +1

    Nice hiyo nyimbo mwana n kali sana mawimbi makali sana mwana ...

  • @Djbentusheetz
    @Djbentusheetz Месяц назад +8

    Shwaaaaaaaaa umetisha🎉

  • @KennyCyrus-k6c
    @KennyCyrus-k6c Месяц назад +8

    A t we kwely mwana mziki

  • @Samjaymusicalive
    @Samjaymusicalive Месяц назад

    Asante kaka kwa elim ktk mzik

  • @MedardLutelemba
    @MedardLutelemba Месяц назад +1

    Afrika eti hata nigeria🇳🇬 ghana, tuwazidi mziki umekula bangi

  • @shikuhata
    @shikuhata Месяц назад

    Inawezekana huyu jamaa alitarajia mpaka kufikia umri wa miaka hamsini awe bilionea kwa bahat mbaya haijawa hivyo kwahiyo stress zinamtesa ila ila imemsaidia kitendo cha kumzungumzia alikiba tayar nae anazungumziwa hivyo katembelea upepo.
    Hongera AT kwa interview kali na ya hekima

  • @JamesSaini
    @JamesSaini Месяц назад +6

    Umetoa elimu kaka halafu unajua

  • @HassanNyoka01
    @HassanNyoka01 Месяц назад +2

    Master J ameshikwa pabaya yamemtokea puani nafikiri hatorudia tena upumbavu alio uongelea juu ya ali kiba amechamba moto kaungua ........!

  • @TitanicIgone
    @TitanicIgone Месяц назад

    Yani nimependa mpaka nimependa tena 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @stellahwilfred5762
    @stellahwilfred5762 Месяц назад +2

    Ahsante AT kwa kumpa habari

  • @jayclassic_ke
    @jayclassic_ke Месяц назад

    Mmmh ngoma kali sanaaaaa 🎉

  • @saidi342
    @saidi342 Месяц назад

    AT saluti Sana kiongozi upo vizuri nakupata kwenye utaalamu wa vocal na kanuni za utoaji voko na sauti kikanuni Kuna kitu kinaitwa kaishum kinapatikana kwenye mapua hii ni katika kanunu ya swauti kupitia kwenye kaishum mwambia mastar j kajichangabya Leo alikiba ndio msanii anaeweza kuimba live kuliko diamond Hilo alijue

  • @MnyamaMbaya-ir3wx
    @MnyamaMbaya-ir3wx Месяц назад +3

    Uyo master mavii mbn hasumbui kabisa kwanza jina namzid ad mimi kuma la mamake😂😂😂😂😂😂

    • @AminaOmmary-yx2wf
      @AminaOmmary-yx2wf Месяц назад

      Kaka upo sahihi wanaosema umepitwa na wakati hao niwatoto 2000 bro

  • @Gsamir694
    @Gsamir694 Месяц назад +1

    Mpumbavu masta j

  • @elimuvisioncenter
    @elimuvisioncenter 17 дней назад

    MASTER JAY ni Mashine nyingine ... Muda mwingine wasanii mkubali kukosolewa

  • @SleepyLargeWaterfall-jf3qm
    @SleepyLargeWaterfall-jf3qm Месяц назад +2

    Kaka unajua sana mambo ya Muziki

  • @BonifaceBonala-w9j
    @BonifaceBonala-w9j Месяц назад +3

    Upo sawa

  • @GatsonGweso
    @GatsonGweso Месяц назад +1

    Kaka umege vitu vya ukweli na viko safi🎉🎉

  • @AmadeSalimoSalimo-gw8ij
    @AmadeSalimoSalimo-gw8ij Месяц назад

    12:38 🎉🎉🎉

  • @VitalessGalus
    @VitalessGalus Месяц назад +1

    vizur xana At wew ni mwana mziki unajua mziki

  • @BENEDICTMHINA-pd1kr
    @BENEDICTMHINA-pd1kr 25 дней назад

    Ungeongelea haya makopo yenu ya Bongo flavour ila sio Real Music

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Месяц назад +1

    Wapemba akili zao ubishani tu . sasa Nigeria na Afrika Kusini ni NJE YA AFRIKA ?

  • @chng1990
    @chng1990 Месяц назад +1

    AT was the best lakini J acheni aitwe J ,majani na J ndo Leo tunatamba na bongo flavour hii ya Leo

  • @idrisShafy
    @idrisShafy Месяц назад +5

    ❤❤❤❤ nikweli kabissa

  • @moizjohnston3841
    @moizjohnston3841 Месяц назад +3

    AT big brain

  • @MelickKwilemba-o6o
    @MelickKwilemba-o6o Месяц назад

    Huyu jamaa maneno mengi Ila swala la sanaa labda ya uchekeshaji😂

  • @AthumanMatuta-px3rv
    @AthumanMatuta-px3rv Месяц назад +1

    AT nakujua tangu zamani na nilikukubali hiyo Ngoma alone achia urudi kwenye game... Your very smart bro

  • @BENEDICTMHINA-pd1kr
    @BENEDICTMHINA-pd1kr 25 дней назад

    WAcha uongo katika Historiaya Africa hakuna mziki uliopasua Anga kama mziki wa Congo unaongea Bange au?????

  • @gideonlewa8057
    @gideonlewa8057 Месяц назад +2

    Naibu waziri mwenyewe anafahamu king ni nani

  • @ProsperThadei
    @ProsperThadei Месяц назад

    Uyu ni Master au Mistress

  • @SimbaLion-qt9li
    @SimbaLion-qt9li Месяц назад +1

    Uyu jamaaa nae anajitia tia hamba kitu

  • @salehmaulid-p1v
    @salehmaulid-p1v Месяц назад +3

    Acheni ujinga wenu wakudanganyana
    We AT mziki huwezi kwa sasa
    Kwa akili yako unaweza Kaa na Bien??
    Masta Jay kaongea ukweli ila ni ufikishaji wa ujumbe

  • @JamesSaini
    @JamesSaini Месяц назад +4

    Kweli yeye sio vocalist ujasir anaupata wapi wakukosoa

  • @MikiKaku-og5iq
    @MikiKaku-og5iq 22 дня назад

    Msameheni jamani master j

  • @mdl6463
    @mdl6463 Месяц назад

    Imani iliyopo Jina Hilo linatumika ndio nyie wabana pua ukitaka kumtetea alikiba Sawa Ila niwabana pua tu don't panic brooooox😂😂

  • @allylingunje
    @allylingunje Месяц назад

    Facts sana

  • @relaxstarman
    @relaxstarman Месяц назад

    Hio ngoma kali sana itoe🎉🎉🎉🎉

  • @RizikiShabani-f8f
    @RizikiShabani-f8f Месяц назад

    Master mume zoeye Kiki maraba hiyakotoka puwani baba mara unapiga bagi mara umekuwa shoga nabado 😂😂😂😂😂

  • @IbrahimEdson-l7c
    @IbrahimEdson-l7c Месяц назад +3

    Uyu ndiye alie imba nipigie

  • @jimmywilliamkahindi355
    @jimmywilliamkahindi355 Месяц назад +7

    Kubalin...ukwel ili mzidi kua Bora tz....maana wengi wenu hamkusoma wala kusomea musik....

    • @AlphonceEmmanuel-d8w3f
      @AlphonceEmmanuel-d8w3f Месяц назад

      saw

    • @RodrigoLaiton
      @RodrigoLaiton Месяц назад +1

      Leta bato za hao watu

    • @Edward_Simon6
      @Edward_Simon6 Месяц назад +1

      Mziki ni kipaji mziki WA darasani ni POROJO tuu izo blood ndio maana matajili weng hawajaajiliwa ongea fact kusoma ndio Nini

    • @SelemanKidagaa
      @SelemanKidagaa Месяц назад

      Unacho kiongea unakijuwa kweli😅😅😅

    • @johnmichael-zg6sd
      @johnmichael-zg6sd Месяц назад

      Kwahy master jay ameusomea mziki acha kuwa upinde

  • @erickmawalla719
    @erickmawalla719 Месяц назад

    AT 🔥🔥🔥🔥

  • @bakarisalim6482
    @bakarisalim6482 Месяц назад +1

    Nakubaliana na wewe bro

  • @alicebuni7711
    @alicebuni7711 Месяц назад +2

    Wabana pua nyamazeni huo ni u kweli mbona mlishindwa kuimba

  • @magrethmagonza186
    @magrethmagonza186 Месяц назад +2

    Huns lolote MR J ni producer sio mwimbaji ila anakuongoza wewe unaongelea ushabiki hata history ya music hujui mnapoongelea mziki mtandaoni mjipange hujui

    • @bilioneacomedy7976
      @bilioneacomedy7976 Месяц назад +1

      Hakuna msanii aliekuwa akiimba live kama Bibi kidude na Bibi kidude alihojiwa msanii anaemkubali alimtaja huyu At, UPINDE wewe tuliaa 😂😂

  • @VitalessGalus
    @VitalessGalus Месяц назад

    kwamala ya pili nasema at ni fundi nikweli wew kama utaki ni wew sasa ila kwangu mimi 🎉🎉🎉

  • @joetheone3354
    @joetheone3354 Месяц назад

    Dah AT shikamoo 🔥🔥🔥

  • @AminaOmmary-yx2wf
    @AminaOmmary-yx2wf Месяц назад

    Waimbie gomba la AT mr m wanimaliza

  • @sirlejah1735
    @sirlejah1735 Месяц назад

    Chuki ya wabongo iko obvious,Bien outshining their A list musicians especially kwenye platform kubwa ya Trace imewachoma Sana

  • @HusseinChangawa-h7g
    @HusseinChangawa-h7g Месяц назад +2

    Hakuna mwenye bado ako kwa mziki sio A.T wala master j...ila unaambiwa fikiria sana kabla haujaongea sana..master j hakufaa kuongea chochote ju yeye pia hana chochote

  • @sirlejah1735
    @sirlejah1735 Месяц назад

    Uyu AT kaweuka ati Ati hizi njia za kizungu mi naskia haloo haloo nyingi tu😂😂😂

  • @katagilakatagils4127
    @katagilakatagils4127 Месяц назад

    If you mess with King u mess with his peoples Ally waambie wapumbavu hao wasimzingue Ally Kiba

  • @gaspercharles2244
    @gaspercharles2244 Месяц назад

    AT UMEONGEA SANA LKN MM NATAMAMI UKOSOE KIDOGO MUSIC WA BONGO ILI WANAMZIKI WENGINE WABADILIKE MAKUOMBA USIBASE KTK MAKOSA YA MUSTER J TU HEBU SEMA KUHUSU MUSIC WA BONGO
    ILI WASANII WAJIFUNZE WASIBWETEKE PALE WALIPO MAANA UKIFAGILIA INA MAANA WABONGO HAWANA MAPUNGUFU?

  • @PetroNicodemus-g3p
    @PetroNicodemus-g3p 18 дней назад

    👍👍👍

  • @HusStler-n3j
    @HusStler-n3j Месяц назад

    AT nawewe uko bize kudadavua maswala ya wenzako wakati Mziki wako unateketea 😅😅😂

  • @JordanMethod
    @JordanMethod Месяц назад +1

    Uko saw broo

  • @omarimkwama6902
    @omarimkwama6902 23 дня назад

    Halafu wwe mtangazaji wahovyo sana kudakia sasa mmmh ujambo nakisikia kisautu sehemu yakuchombeza unapoteza mdah 😂😂😂

  • @Gsamir694
    @Gsamir694 Месяц назад

    Sawa sawa at

  • @KephaMadale
    @KephaMadale Месяц назад

    Salut AT 🎉

  • @idanysedrc1200
    @idanysedrc1200 Месяц назад +2

    AT anajua sana

  • @yahyakiomone8792
    @yahyakiomone8792 Месяц назад

    Good boy,ana knowledge huyu. Watanzania mnatakiwa kama huyu.

  • @FATUMABACARCADANGE
    @FATUMABACARCADANGE Месяц назад

    Uko sawa kaka

  • @Spartacus-gaz12
    @Spartacus-gaz12 Месяц назад +1

    Tanzania kuwa ya kwanza kimziki bara la Afrika? Hadi mwandishi amestuka 😂😂😂😂😂😂 Tanzania 🇹🇿 imetowa msani nani mkubwa ndugu yangu? Hacha miyoyusho, congo 🇨🇩 umehihacha wapi? Tangu enzi za zamani pindi Tanzania inatiwa Tanganyika hadi leo haiwezi kufikia live music 🎶 kuzidi congo 🇨🇩 hata kidogo, naona kwenye interview zako umehanza kuweka vionjo ndugu. Kwa Tanzania kuwa ya kwanza kimziki barani Afrika na kutowa msani mkubwa barani Afrika hapo umewapiga ndugu zako kwa kuwasimu kwa uongo😂😂😂😂😂

  • @JoshuaMwejonge
    @JoshuaMwejonge Месяц назад

    At mbona sikujuaga upo hivi ni moto

  • @SULEIMANTALIB-p9w
    @SULEIMANTALIB-p9w Месяц назад

    Mziki umemshinda ameamua kuwa chawa

  • @Kazo_tz
    @Kazo_tz Месяц назад

    A.T 🙌🙌🙌🙌

  • @mdbosco1640
    @mdbosco1640 Месяц назад +1

    Nakubali kijan

  • @alicebuni7711
    @alicebuni7711 Месяц назад

    Ungeenda ukaimba tukakuona mzee wa tarab

  • @HeriJaphet-y6h
    @HeriJaphet-y6h Месяц назад

    Ila Master J pando alilolipanda kwa Harmonize kalivuna kwa Kiba. Anashushua wenzake km mwanamke

  • @harithwhite589
    @harithwhite589 Месяц назад

    Wahindi achana nao,si wanawake so wanaume,huku shrea ghoshal au Alka yagnik kule Sonu Nigam na Kumar sanu